Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 40:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Maana mimi nilitoroshwa kutoka inchi ya Waebrania na hapa Misri sijafanya kitu chochote kinachostahili nitiwe katika kifungo.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 40:15
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu mumoja aliyeponyoka, akakwenda kumwarifu Abramu Mwebrania ambaye alikuwa anaishi karibu na mielo ya Mamure Mwamori. Mamure alikuwa ndugu ya Eskoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu.


Akamutwaa Yosefu na kumutia katika kifungo, pahali wafungwa wa mufalme walipokuwa. Lakini hata mule katika kifungo,


Yule mupishi mukubwa wa mikate alipoona kwamba maelezo yale ni mazuri, akamwambia Yosefu: “Hata mimi niliota ndoto! Katika ndoto yangu nilikuwa nikibeba juu ya kichwa vitunga vitatu vya mikate.


Basi, kijana mumoja Mwebrania, mutumishi wa jemadari wa waaskari walinzi, alikuwa pamoja nasi katika kifungo. Tulipomwelezea ndoto zetu, yeye aliweza kutuelezea kila mumoja wetu kulingana na ndoto yake.


Walimufunga miguu kwa minyororo, na kikomo cha chuma kwenye shingo,


Watu waovu na wadanganyifu wananishambulia, wanasema uongo juu yangu.


Anayemukamata mutu kwa kinguvu kusudi amwuzishe au kumufanya mutumwa wake, hakika atauawa.


Danieli akamujibu mufalme: Uishi milele, ee mufalme!


Yesu akawaambia tena: “Nimewaonyesha matendo mengi mazuri kwa uwezo wa Baba. Ni kwa sababu ya tendo gani kati ya hayo munataka kunitupia mawe?”


Lakini wamefanya hivi kusudi maneno haya yaliyoandikwa katika Sheria yao yatimie: ‘Wamenichukia pasipo sababu.’


“Mutu yeyote akimwiba Mwisraeli mwenzake na kumufanya kuwa mutumwa wake au kumwuzisha katika utumwa, mutu huyo anapaswa kuuawa. Ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


Sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wanaume wanaozini wao kwa wao, wenye kuuzisha watu, wasema uongo, wale wanaofanya viapo vya uongo na kwa ajili ya wote wanaofanya matendo yanayokuwa umbalimbali na mafundisho ya kweli.


Sasa, leo umejionea kwa macho yako mwenyewe. Ulipokuwa ndani ya pango Yawe alikutia katika mikono yangu. Wamoja kati ya watu wangu waliniambia nikuue, lakini nilikuhurumia. Nikasema sitanyoosha mukono wangu juu ya bwana wangu maana yeye ni muchaguliwa wa Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ