Mwanzo 40:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Nyuma ya siku tatu mufalme atakunyanyua kutoka katika kifungo na kukurudisha tena katika cheo chako. Utaweza tena kumupa mufalme kikombe kwa mukono kama ulivyokuwa unafanya pale mbele. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Katika mwaka wa makumi tatu na mbili, Ewili-Merodaki mufalme wa Babeli alianza kutawala. Mwaka uleule akamusamehe Yoyakini mufalme wa Yuda, akamufungua. Hayo yalitokea katika siku ya makumi mbili na saba ya mwezi wa kumi na mbili wa mwaka wa makumi tatu na saba tangu Yoyakini alipopelekwa katika uhamisho.