Wakati fulani nyuma ya mambo hayo, wakubwa wawili waliomutumikia mufalme wa Misri wakamukosea. Wakubwa wale walikuwa mutunza vinywaji mukubwa na mupishi mukubwa wa mukate wa mufalme.
tena alipoona chakula kilicholetwa kwa meza yake, jinsi wakubwa wake walivyoikaa kwenye meza, jinsi watumishi walivyotumika na walivyovaa, vilevile wenye kuleta vinywaji na sadaka za kuteketezwa ambazo alizitoa katika nyumba ya Yawe, alipumbazika na kushangaa sana.
chakula kilichotayarishwa kwenye meza yake, jinsi wakubwa wake walivyokaa kwenye meza, kazi ya watumishi wake na namna walivyovaa, wenye kuleta vinywaji na jinsi walivyovaa, na sadaka za kuteketeza ambazo alitoa katika nyumba ya Yawe.
Ee Bwana, usikilize maombi yangu mimi mutumishi wako na ya watumishi wako wanaofurahia kukutii wewe. Ninakuomba unifanikishe leo, mimi mutumishi wako, na kunijalia kuhurumiwa na mufalme.” Mimi nilikuwa na madaraka ya kumupa mufalme kinywaji.
Munapoingia ndani ya hema la mukutano, wewe na wana wako musikunywe divai wala kileo chochote, kama sivyo mutakufa. Hili litakuwa sharti ambalo vizazi vyenu vyote wanapaswa kulifuata siku zote.