Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 40:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 nao ulikuwa na matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipuka majani, maua yake yakachanua na vishada vyake vikakuwa zabibu zenye kukomaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 40:10
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Katika mikono yangu nilikuwa na kikombe cha mufalme, basi, nikatwaa zabibu, nikazikamua katika kikombe kile, nikamupa mufalme.”


Mutunza vinywaji mukubwa wa mufalme akamwelezea Yosefu ndoto yake, akisema: “Katika ndoto yangu niliona muzabibu mbele yangu,


Nimeingia katika bustani ya miti ya lozi, kuangalia vichipukizi katika bonde, kuona kama mizabibu imechanua, na mikomamanga imechanua maua.


Musa na Haruni wakakwenda, wakasimama mbele ya hema la mukutano,


Lakini Herode aliposikia habari zile, akasema: “Ni yule Yoane Mubatizaji niliyemukata kichwa ndiye amefufuka!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ