24 Ikiwa Kaina atalipizwa mara saba, kweli Lameki atalipizwa mara makumi saba na saba.”
Lakini Yawe akamujibu: “Hapana, sivyo! Atakayekuua wewe Kaina atalipizwa mara saba.” Basi, Yawe akamutia Kaina kitambulisho hata yeyote atakayemwona asimwue.
Yesu akamujibu: “Hapana, sikuambii kwamba umusamehe mara saba tu, lakini mpaka mara makumi saba mara saba.