Lameki akawaambia wake zake: “Ada na Sila musikie sauti yangu! Musikilize maneno ninayosema enyi wake za Lameki. Maana niliua mutu kwa sababu ya kunipiga, nilimwua kijana kwa kuniumiza.
Tena unitumie miti ya mierezi, miberoshi na musandali kutoka Lebanoni, kwa maana ninajua kwamba watumishi wako ni hodari sana wa kupasua mbao kule Lebanoni. Nao watumishi wangu watashirikiana na watumishi wako,