Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Ada akazaa Yabali ambaye alikuwa baba ya wafugaji wanaoishi katika mahema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 4:20
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watoto hao wakakomaa. Esau alikuwa mwindaji hodari. Alipenda maisha ya pori. Yakobo alikuwa mutu mutulivu. Alipenda maisha ya nyumba.


Lameki akaoa wanawake wawili, mumoja aliitwa Ada na mwingine Sila.


Kisha akazaa ndugu yake Abeli. Abeli alikuwa mufugaji wa kondoo na Kaina alikuwa mulimaji.


Ndugu yake alikuwa Yubali; huyo alikuwa baba ya wapiga muziki wote wanaopiga zeze na filimbi.


Baba yenu ni Shetani, nanyi munataka kutimiza sawa vile huyo baba yenu anavyotamani. Yeye ni mwuaji siku zote, naye hajasimama katika ukweli, kwa sababu ndani yake hakuna ukweli. Wakati anaposema uongo, masemi yake yanatokana na tabia yake, kwa sababu yeye ni mwongo na baba ya uongo.


Kwa njia ya imani, aliishi kama vile mugeni katika inchi ile Mungu aliyomwahidi. Yeye alikuwa akiishi katika hema kama vile Isaka na Yakobo walivyoishi. Wao vilevile walishiriki pamoja naye ahadi ile ile ya Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ