Mwanzo 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Yawe akasema: “Umefanya nini? Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kule Samaria kulikuwa nabii wa Yawe, jina lake Obedi. Yeye alitoka kwenda kukutana na waaskari wa Israeli walipokuwa karibu kuingia Samaria, akawaambia: “Yawe, Mungu wa babu zenu, alikuwa amewakasirikia watu wa Yuda, ndiyo maana aliwatia katika mikono yako lakini umewaua kwa hasira. Tendo hilo limetoka mbinguni.