Maji mengi hayawezi kuyazimisha hata kidogo, mafuriko hayawezi kuyazimisha. Mutu akijaribu kununua mapenzi, na kutoa mali yake yote, atakachopata ni mazarau mutupu.
Nami nikawajibu kwamba si desturi ya Waroma kumutoa mutu yeyote aliyeshitakiwa mbele ya kusamba uso kwa uso na washitaki wake na kupata nafasi ya kujitetea juu ya jambo walilomushitakia.