Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 39:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Basi, bwana wa Yosefu aliposikia maneno ya muke wake, kwamba ndivyo mutumishi wake alivyomutendea, akawaka hasira.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 39:19
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mara tu nilipopiga kelele, akaacha nguo yake na kukimbilia inje.”


Kwa wamasikini nilikuwa baba yao; nilifanya bidii kutetea haki za watu nisiowajua.


hakika tungalimezwa tukikuwa wazima, wakati hasira yao ilipowaka juu yetu.


Anayejitetea wa kwanza anaonekana kuwa na haki, mpaka pale mupinzani wake atakapoanza kumupinga.


Mutawala akisikiliza mambo ya uongo, wakubwa wake wote watakuwa waovu.


Maji mengi hayawezi kuyazimisha hata kidogo, mafuriko hayawezi kuyazimisha. Mutu akijaribu kununua mapenzi, na kutoa mali yake yote, atakachopata ni mazarau mutupu.


Nami nikawajibu kwamba si desturi ya Waroma kumutoa mutu yeyote aliyeshitakiwa mbele ya kusamba uso kwa uso na washitaki wake na kupata nafasi ya kujitetea juu ya jambo walilomushitakia.


Kwa sababu hii Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu wapate kuamini mambo ya uongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ