Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 39:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Akamwelezea jambo lile akisema: “Huyu mutumishi Mwebrania uliyemuleta kwetu alinifikia kwa kunizarau.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 39:17
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akaita watumishi wa nyumba yake na kuwaambia: “Huyu Mwebrania tuliyeletewa anatuzarau. Alikuja kwangu akitaka kunishika kwa nguvu, lakini nikapiga kelele.


Basi, yule mwanamuke akaweka nguo ile mpaka wakati mume wake aliporudi ndani ya nyumba.


Lakini mara tu nilipopiga kelele, akaacha nguo yake na kukimbilia inje.”


Ahabu alipomwona Elia, alisema: “Hakika ni wewe unayetaabisha Waisraeli?”


Waovu wanachomoa panga na kuvuta pinde zao, wapate kuwaua wamasikini na wakosefu; wawachinje watu wenye mwenendo sawa.


Unisikilize na kunijibu; nimechoka na malalamiko yangu.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Ukweli unadumu milele, lakini uongo ni wa muda kidogo tu.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.


Anayesema uongo anachukia wale anaowaumiza, naye anayebembeleza analeta maangamizi.


Halafu Kuhani Mukubwa akapasua nguo zake na kusema: “Mutu huyu amemutukana Mungu! Hatuhitaji tena ushuhuda wowote juu yake. Angalia, munatoka kusikia jinsi alivyomutukana Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ