Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 39:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Basi, yule mwanamuke akaweka nguo ile mpaka wakati mume wake aliporudi ndani ya nyumba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 39:16
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliposikia ninapiga kelele, akaacha nguo yake, akakimbilia inje!”


Akamwelezea jambo lile akisema: “Huyu mutumishi Mwebrania uliyemuleta kwetu alinifikia kwa kunizarau.


Mwovu anamufanyia mutu wa haki shauri baya, na kumusagia meno kwa chuki.


Mutu mwovu anamuvizia mutu wa haki, na kujaribu kumwua;


Yawe anasema: Watu wangu ni wapumbafu, hawanijui mimi. Wao ni watoto wajinga; hawana ufahamu. Wao wanaelewa vizuri kutenda maovu, lakini hawajui kutenda mema.


Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ