15 Aliposikia ninapiga kelele, akaacha nguo yake, akakimbilia inje!”
akaita watumishi wa nyumba yake na kuwaambia: “Huyu Mwebrania tuliyeletewa anatuzarau. Alikuja kwangu akitaka kunishika kwa nguvu, lakini nikapiga kelele.
Basi, yule mwanamuke akaweka nguo ile mpaka wakati mume wake aliporudi ndani ya nyumba.
Wanashirikiana katika nia yao mbaya; wanapatana pahali pa kuficha mitego yao. Wanajisemesha: “Hakuna atakayeweza kuiona.”