Mwanzo 39:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Basi, Yosefu aliposhushwa kwenda mpaka Misri, Mumisri mumoja anayeitwa Potifari ambaye alikuwa jemadari wa mufalme wa Misri na mukubwa wa waaskari walinzi, akamununua kutoka kwa Waisimaeli waliomuleta Misri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |