8 Basi, Yuda akamwambia Onani: “Umutwae muke wa ndugu yako marehemu, maana vile ndivyo inavyokupasa kufanya, upate kumuzalia ndugu yako watoto.”
Wakiwa kule, binti mukubwa akamwambia dada yake: “Baba yetu ni muzee na hakuna mwanaume katika inchi wa kutuoa tupate watoto.
Usilale na muke wa ndugu yako, huyo ni shemeki yako.
Naye Naomi akawasihi: “Murudi, wabinti zangu. Kwa nini kunifuata? Munafikiri ninaweza kupata tena watoto watakaokuwa waume zenu?