Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 38:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Lakini Eri, muzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu mbele ya Yawe, hivyo Yawe akamwua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 38:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wa Sodoma walikuwa waovu na watenda zambi wakubwa mbele ya Yawe.


kwa maana kilio kilichomufikia Yawe juu ya wakaaji wa hapa ni kikubwa sana, naye ametutuma tukuje kuwaangamiza.”


Yuda alimwoea mutoto wake wa kwanza Eri mwanamuke anayeitwa Tamari.


Yuda na wana wake: Eri, Onani, Sela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walikufa katika inchi ya Kanana). Wana wa Peresi walikuwa Hesironi na Hamuli.


Lakini Noa akapata kukubaliwa mbele ya Yawe.


Kisha akamusihi Yawe akisema: “Ee Yawe, Mungu wangu, hata mwanamuke huyu mujane ambaye ninakaa kwake, naye ananitunza, unamuletea hasara kwa kumwua mwana wake?”


Wana wa Yuda walikuwa watano: Wana wa Yuda aliozaliwa na Beti-Sua, muke wake Mukanana, walikuwa: Eri, Onanu na Sela. Eri, muzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu mbele ya Yawe, basi Yawe akamwua. Na Tamari, muke wake alimuzalia wana wawili: Peresi na Zera.


Na aliwatoa wana wake kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto katika bonde la mwana wa Hinomu. Alipiga ramuli, aliaguza na alitumia hirizi; hata alishirikiana na waaguzi wanaosemezana na mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Yawe, akamukasirikisha.


Utue muzigo wako kwa Yawe, naye atakusaidia; hamwachilii mutu wa haki ashindwe.


Kabila la Yuda lilikuwa na Eri na Onani. Hawa walikufia katika inchi ya Kanana.


Mutu akimukosea mwenzake, anaweza kuombewa kwa Mungu, kusudi Mungu amusamehe. Lakini mutu akimukosea Yawe nani anayeweza kumwombea musamaha?” Lakini watoto hao hawakumusikiliza baba yao, maana Yawe alikwisha kata shauri la kuwaua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ