30 Kisha ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu kwenye mukono, naye akaitwa Zera.
Yuda na wana wake: Eri, Onani, Sela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walikufa katika inchi ya Kanana). Wana wa Peresi walikuwa Hesironi na Hamuli.
Yeuli wa uzao wa Zera. Watu wa kabila la Yuda waliokaa Yerusalema walikuwa mia sita na makumi kenda kwa jumla.
Petahia mwana wa Mesezabeli, wa ukoo wa Zera katika kabila la Yuda, alikuwa musimamizi wa mufalme juu ya mambo yote ya watu wa Yuda.