Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 38:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Lakini yule mutoto alipourudisha mukono wake ndani, ndugu yake akazaliwa wa kwanza. Muzalishaji akasema: “Mbona wewe umepita kwa nguvu?” Kwa hiyo akaitwa Peresi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 38:29
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, alipopata uchungu wa kuzaa, pacha mumoja akatoa mukono inje, naye muzalishaji akaufunga kwa uzi mwekundu, akisema: “Huyu ndiye aliyezaliwa kwanza.”


Yuda na wana wake: Eri, Onani, Sela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walikufa katika inchi ya Kanana). Wana wa Peresi walikuwa Hesironi na Hamuli.


Katika kabila la Yuda, kulikuwa: Utai mwana wa Amihudi na mujukuu wa Omuri. Naye Omuri alikuwa baba ya Imuri na mujukuu wa Bani, wa wazao wa Peresi mwana wa Yuda.


Watu wamoja wa kabila la Yuda na wa kabila la Benjamina walikaa katika Yerusalema: Hawa ndio watu wa ukoo wa Yuda waliokaa Yerusalema: Ataya mwana wa Uzia, mujukuu wa Zakaria mwana wa Amaria mwana wa Sefatia mwana wa Mahalaleli wa uzao wa Peresi;


Wazao wote wa Peresi waliokaa katika Yerusalema walikuwa wanaume mashujaa mia ine makumi sita na wanane.


Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Sela, Peresi, na Zera.


Yawe akupatie watoto wengi kwa njia ya mwanamuke huyu, na jamaa yako ikuwe kama ya Peresi ambaye Tamari alimuzalia Yuda.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ