22 Basi, huyo rafiki akarudi kwa Yuda, akamwambia: “Sikumupata! Tena wenyeji wa kule wameniambia kwamba hapajakuwa mwanamuke kahaba yeyote kule.”
Hira akauliza wenyeji wa Enaimu: “Yuko wapi yule mwanamuke kahaba aliyekuwa kando ya njia karibu na hapa?” Wakamujibu: “Hapa hapajakuwa mwanamuke kahaba.”
Yuda akasema: “Acha avichukue vitu hivyo. Kama sivyo atatufanya tuchekelewe. Wewe mwenyewe umeona kwamba nilimupelekea mwana-mbuzi, lakini wewe haukumupata.”