Mwanzo 38:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Yuda akamwuliza: “Unataka nikupe nini kama rehani?” Naye akamujibu: “Unipe hiyo pete na kamba yake pamoja na hiyo fimbo unayoshika.” Basi, Yuda akamupa vitu hivyo vyote, akalala naye. Tamari akapata mimba yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |