Mwanzo 38:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Halafu, bila kujua kwamba huyo alikuwa muke wa mwana wake, akamwendea pale kando ya njia, akamwambia: “Ninataka kulala nawe.” Tamari akamwuliza: “Utanipa nini upate kulala nami?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |