Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 38:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Halafu, bila kujua kwamba huyo alikuwa muke wa mwana wake, akamwendea pale kando ya njia, akamwambia: “Ninataka kulala nawe.” Tamari akamwuliza: “Utanipa nini upate kulala nami?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 38:16
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Yuda alipokuta Tamari pale, alimuzania kuwa mwanamuke kahaba, maana alikuwa akijifunika uso.


Yuda akamujibu: “Nitakupa mwana-mbuzi kutoka kundi langu.” Tamari akamwambia: “Weka rehani kwa kuhakikisha kwamba utaniletea yule mwana-mbuzi.”


Hapo, alipokuwa anamupatia mikate ile, Amunoni alimukamata na kumwambia: “Kuja ulale nami.”


Kwa kawaida wanaume wanawalipa makahaba, lakini wewe umewalipa wapenzi wako wote, ukiwahonga wakuje kwako toka pande zote upate kuzini nao.


na kuwaambia: “Mutanipa nini kama nikimutoa Yesu kwenu?” Basi wakamupa vikoroti makumi tatu vya feza.


“Mwisraeli yeyote, mwanaume au mwanamuke, hatakuwa hata kidogo kahaba wa kidini.


Kwa maana kupenda feza ni shina la mabaya yote. Kwa ajili ya kuzitamani watu wamoja wanaanguka katika imani yao, na wanajiumiza mioyo wakijiletea huzuni nyingi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ