Mwanzo 38:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 akavua nguo zake za ujane na kujifunika kitambaa. Kisha akaikaa kwenye mulango wa kuingilia Enaimu, kijiji kilichokuwa katika njia kwenda Timuna. Alifanya hivyo kwa vile aliona kwamba Sela alikwisha kuwa mutu muzima, lakini yeye Tamari hakuoeshwa akuwe muke wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |