Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 37:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Kisha wakamupelekea baba yao ile kanzu, wakamwambia: “Tumeokota kanzu hii. Uangalie kama ni ya mwana wako, au hapana.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 37:32
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, tumwue na kumutupa ndani ya shimo moja. Kisha tutasema kwamba ameuawa na nyama wa pori. Halafu tutaona hizo ndoto zake zitakuwa namna gani.”


Israeli alimupenda Yosefu kuliko watoto wake wote kwa sababu alikuwa amezaliwa wakati wa uzee wake. Alimupa Yosefu kanzu nzuri sana.


Basi, wakachinja mbuzi, wakaitwaa kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya yule mbuzi.


Baba yao akatambua hiyo kanzu, akasema: “Ndiyo ni kanzu ya mwana wangu! Bila shaka nyama wa pori amemushambulia na kumukula. Hakika Yosefu ameraruliwa vipandevipande.”


Walipokuwa wakimutoa inje, Tamari akatuma ujumbe kwa baba mukwe wake, akisema: “Mwenye vitu hivi ndiye aliyenipa mimba. Kwa hiyo, ninakuomba umutambue mwenye pete hii na kamba yake, na fimbo hii.”


Lakini mwana wako huyu aliyeharibu mali yako katika ukahaba alipofika, ukamuchinjia yule ngombe mwenye kunona!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ