Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 37:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kisha wakamushika na kumutupa ndani ya shimo. Lakini shimo hilo halikukuwa na maji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 37:24
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu alipowafikia wandugu zake, wao wakamvua kanzu yake.


Walipoikaa kwa kula wakainua macho na kuona kundi la Waisimaeli wakisafiri kutoka Gileadi kwenda Misri. Ngamia wao walikuwa wakibeba ubani, zeri na manemane.


Kisha wakasemezana wao kwa wao: “Kweli sisi tulimukosea ndugu yetu. Ingawa tulimwona katika taabu, hatukumujali hata alipotusihi. Ndiyo maana taabu hii yote inatupata.”


Maana walinitegea mitego bila sababu; walinichimbia shimo bila neno lolote.


Nilimungojea Yawe kwa uvumilivu, akanielekea na kusikia kilio changu.


Ninahesabiwa kati ya wafu, kama waliouawa, wanaokuwa katika kaburi, kama wale ambao hauwakumbuki tena, ambao wametengwa na ulinzi wako.


Hasira yako imenilemea; umenisonga kwa zoruba yako yote.


Basi, wakamutwaa Yeremia wakamutia katika kisima cha Malkia mwana wa mufalme ambacho kilikuwa katika kiwanja cha walinzi. Walimushusha Yeremia ndani kwa kamba. Ndani ya kisima hicho hamukukuwa maji lakini matope, naye Yeremia akazama katika matope.


Walimunasa yule ambaye maisha yetu yalimutegemea, yule mufalme aliyechaguliwa na Yawe yule ambaye tulisema juu yake: Chini ya ulinzi wake tutaishi kati ya mataifa.


Yawe anasema hivi: Kwa sababu ya agano langu pamoja nanyi, agano lililokamilishwa kwa njia ya damu, nitawakomboa wafungwa wenu wanaokuwa kama wamefungwa katika shimo tupu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ