Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 37:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Musimwange damu. Mumutumbukize katika shimo hili hapa katika mbuga, lakini musimuzuru.” Alisema hivyo kusudi aweze kumwokoa Yosefu kutoka mikono yao na kisha amurudishe kwa baba yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 37:22
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Malaika akamwambia: “Usinyooshe mukono wako juu ya kijana wala usimufanyie jambo lolote! Sasa ninajua kwamba unamwogopa Mungu, maana haukuninyima hata mwana wako wa pekee.”


Lakini Rubeni aliposikia maneno hayo, akataka kumwokoa toka katika mikono yao. Basi akawaambia wandugu zake: “Tafazali, tusimwue.


Yosefu alipowafikia wandugu zake, wao wakamvua kanzu yake.


Rubeni akawaambia: “Si niliwaambia tusimuzuru kijana? Lakini ninyi hamukunisikiliza! Sasa tunaazibiwa kwa ajili ya damu yake.”


Na Mungu hakuwazuru wale viongozi wa watu wa Israeli. Walimwona Mungu, wakakula na kunywa.


Ijapokuwa Elnatana, Delaya na Gemaria walimusihi mufalme asikichome kile kitabu, mufalme hakuwasikiliza.


Basi Pilato alipoona kwamba hataweza kufanya kitu, isipokuwa tu kuongeza fujo, akatwaa maji na kunawa mikono yake mbele ya watu wote, akisema: “Lazima ya damu ya mutu huyu isikuwe juu ya kichwa changu! Maneno haya yanawaangukia.”


Katika siku zile mufalme Herode akaanza kutesa watu wamoja wa kanisa.


usikubali kushawishiwa wala kumusikiliza, au kumuhurumia wala usimwachilie wala usimufiche;


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ