Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 37:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Basi, tumwue na kumutupa ndani ya shimo moja. Kisha tutasema kwamba ameuawa na nyama wa pori. Halafu tutaona hizo ndoto zake zitakuwa namna gani.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 37:20
25 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakaambiana: “Muangalie! Yule mwota ndoto anakuja.


Hapo Yuda akawaambia wandugu zake: “Tutapata faida gani tukimwua ndugu yetu na kuficha damu yake?


Kisha wakamupelekea baba yao ile kanzu, wakamwambia: “Tumeokota kanzu hii. Uangalie kama ni ya mwana wako, au hapana.”


Baba yao akatambua hiyo kanzu, akasema: “Ndiyo ni kanzu ya mwana wangu! Bila shaka nyama wa pori amemushambulia na kumukula. Hakika Yosefu ameraruliwa vipandevipande.”


Yosefu akawaambia wandugu zake: “Mimi ni Yosefu. Baba yangu angali muzima?” Lakini wandugu zake wakapigwa na bumbuazi mbele yake, hata wakashindwa kumujibu.


Alipokuwa anakwenda zake, simba akakutana naye katika njia, akamwua. Mwili wake ukatupwa pale katika barabara. Punda wake na yule simba wakasimama pembeni yake.


Elisha aligeuka, akawaangalia na kuwalaani kwa jina la Yawe. Dubu wawili wakatoka katika pori, wakawararua vijana makumi ine na wawili kati yao.


Wanapiga mutu mukamilifu kwa uficho, wanamupiga kwa rafla bila kuogopa.


Mwana wangu, usikubali kushawishiwa na wenye zambi.


Maana wao wako mbio kutenda maovu, haraka zao zote ni za kumwanga damu.


Anayemuchukia mwingine kwa siri ni munafiki. Anayemusingizia mutu ni mupumbafu.


Kasirani ni kali na hasira inaangamiza; lakini ni nani anayeweza kupingana na wivu?


Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.


Macho ya kiburi, ulimi mudanganyifu, mikono inayoua wasiokuwa na kosa,


Ninyi munajidai mumefanya agano na kifo mumefanya mapatano na kuzimu! Ninyi munasema kwamba hasara itakapokuja haitawapata, kwa sababu mumefanya uongo kuwa tegemeo lenu, na udanganyifu kuwa kikingio chenu!


Ikiwa hamwamini wakati ninapowaambia maneno ya dunia, namna gani mutaamini kama nikiwaambia maneno ya mbinguni?


Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia.


Mutu akimukamata adui yake atamwacha aende salama? Kwa lile ulilonitendea, Yawe akupe zawadi njema!


Mara moja, Saulo alikwenda kwenye jangwa la Zifu kumutafuta Daudi akiwa na waaskari waliochaguliwa elfu tatu wa Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ