Mwanzo 37:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Hizi ndizo habari za ukoo wa Yakobo. Yosefu, akiwa kijana wa umri wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo na mbuzi pamoja na wandugu zake, wana wa Biliha na Zilpa, wake za baba yake. Yosefu akakuwa anamujulisha baba yake juu ya tabia mbaya za wandugu zake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |