Na ilikuwa wakati Isaka alipokuwa muzee na macho yake yalikuwa zaifu hata hakuweza kuona tena, akaita Esau mwana wake mukubwa, akamwambia: “Mwana wangu!” Naye akaitika: “Niko hapa!”
Yawe akamwita Samweli kwa mara ya tatu. Samweli akaamuka, akamwendea Eli na kumwambia: “Nimekuja, maana umeniita.” Halafu Eli alitambua kwamba Yawe ndiye aliyemwita Samweli.