Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 36:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Oholibama alimuzalia Yeusi, Yalamu na Kora. Hao ndio wana wa Esau ambao wake zake walimuzalia alipokaa katika inchi ya Kanana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 36:5
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akiwa muzee wa miaka mingi, akakufa na kukutana na wazee wake. Watoto wake, Esau na Yakobo wakamuzika.


Oholibama, binti ya Ana, binti ya Sibeoni, alimuzalia Esau mume wake wana watatu: Yeusi, Yalamu na Kora.


Wana wa Oholibama, muke wa Esau, walikuwa Yeusi, Yalamu na Kora. Kila mumoja wao akiwa mukubwa wa kabila lake. Hao wote ni wana wa Oholibama, binti ya Ana, muke wa Esau.


Ada alimuzalia Esau Elifazi, naye Basemati akamuzalia Reueli.


Kisha, Esau akawatwaa wake zake, watoto wake wanaume na wanawake, watu wote wa nyumba yake, ngombe wake, nyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata katika inchi ya Kanana, akahamia pahali pengine, mbali na ndugu yake Yakobo.


Wana wa Esau walikuwa: Elifasi, Rueli, Yeusi, Yalamu na Kora.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ