3 na Basemati binti ya Isimaeli, dada ya Nebayoti.
Haya ni majina yao kufuatana na kuzaliwa kwao: Nebayoti, muzaliwa wa kwanza, Kedari, Adibeli, Mibusamu,
Esau alipokuwa na umri wa miaka makumi ine, akaoa wake wawili Wahiti: Yuditi binti ya Beri na Basemati binti ya Eloni.
Hivyo, Esau akakwenda kwa Isimaeli, mwana wa Abrahamu, akaoa Mahalati binti ya Isimaeli, dada ya Nebayoti.
Wana wa Esau walikuwa Elifazi aliyezaliwa na Ada muke wake, na Reueli aliyezaliwa na Basemati muke wake mwingine.
Esau alioa wake Wakanaa: Ada binti ya Eloni Muhiti, Oholibama binti ya Ana, binti ya Sibeoni Muhivi,
Ada alimuzalia Esau Elifazi, naye Basemati akamuzalia Reueli.