2 Esau alioa wake Wakanaa: Ada binti ya Eloni Muhiti, Oholibama binti ya Ana, binti ya Sibeoni Muhivi,
Rebeka akamwambia Isaka: “Sina raha kabisa katika maisha kwa sababu ya hawa wanawake Wahiti wa Esau. Ikiwa Yakobo ataoa mumoja wa wanawake hawa Wahiti, maisha yangu yana faida gani?”
Hivyo, Esau akakwenda kwa Isimaeli, mwana wa Abrahamu, akaoa Mahalati binti ya Isimaeli, dada ya Nebayoti.
Oholibama, binti ya Ana, binti ya Sibeoni, alimuzalia Esau mume wake wana watatu: Yeusi, Yalamu na Kora.
Wana wa Sibeoni walikuwa Aya na Ana. Ana ndiye aliyeona chemichemi za maji ya moto katika jangwa, alipokuwa anachunga punda wa baba yake Sibeoni.
Watoto wa Ana walikuwa Disoni na binti mumoja jina lake Oholibama.
na Basemati binti ya Isimaeli, dada ya Nebayoti.
akasema: “Kanana alaaniwe! Atakuwa mutumwa wa watumwa kwa wandugu zake.”