Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 34:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Lakini Hamori akawaambia: “Mwana wangu Sekemu anamupenda sana binti yenu. Basi, tafazali mumuruhusu amwoe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 34:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Sekemu akavutiwa sana na yule binti, akamupenda hata akaanza kumubembeleza.


na wakati uleule wana wa Yakobo walirudi kwa nyumba kutoka kwenye malisho. Waliposikia hayo, vijana wale wakaona uchungu mwingi na kukasirika sana, kwa vile Sekemu alikuwa amewafanyia watu wa Israeli ovu hilo la kulala na binti ya Yakobo; maana jambo hilo halipaswi kutendwa.


Muache tuoeane: ninyi mutuoeshee wabinti zenu, nanyi muoe wabinti zetu.


ni kusema wanawake wa mataifa ambayo Yawe alikuwa amewakataza Waisraeli akisema: “Musioe kwao wala wao wasioe kwenu kwa sababu wanawake hao watapotosha mioyo yenu kusudi muitumikie miungu yao.” Solomono aliwapenda sana wanawake hao.


Yeye ni kama mutumwa anayetamani kivuli, kama mutumishi anayengoja kwa hamu mushahara wake.


Roho yangu inaugua kwa hamu kubwa ya kutaka kujua siku zote maamuzi yako.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Ee Yawe wa majeshi, kweli makao yako yanapendeza!


Mutatamani kwa hamu kubwa kurudi katika inchi hii, lakini hamutarudi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ