Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 34:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Basi, Sekemu mwana wa Hamori Muhivi, aliyekuwa mukubwa wa inchi hiyo, alipomwona Dina, akamushika, akalala naye kwa nguvu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 34:2
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Akiwa kule, Abrahamu alisema kwamba muke wake Sara ni dada yake. Kwa hiyo, mufalme Abimeleki wa Gerari akamutwaa Sara.


Sehemu hiyo ya inchi ambako alipiga kambi aliinunua kutoka kwa wazao wa Hamori, baba ya Sekemu, kwa vikoroti mia moja vya feza.


Nyuma ya mauaji hayo, wana wengine wa Yakobo wakaingia katika muji na kunyanganya mali yote katika muji ule, kwa sababu dada yao alikuwa amechafuliwa.


Lakini Sekemu akavutiwa sana na yule binti, akamupenda hata akaanza kumubembeleza.


Basi, Yakobo akamwambia Simeoni na Lawi: “Ninyi mumeniletea taabu kwa kunifanya nichukiwe na wakaaji wa inchi hii ya Wakanana na Waperizi. Mimi sina watu wengi, na kama wakikusanyika kwa kunishambulia wataniangamiza mimi pamoja na jamaa yangu.”


wana wa Mungu wakaona kwamba wale wabinti za watu ni wazuri, wakawatwaa wale waliowapendeza kuwa wake zao.


Siku moja, wakati wa magaribi, Daudi aliamuka toka katika kitanda, akaenda kwenye dari ya nyumba ya kifalme. Alipokuwa anatembea kule juu, alimwona mwanamuke mumoja akioga na mwanamuke yule alikuwa muzuri sana kwa umbo.


Basi, Daudi alituma wajumbe wamulete. Basi Batiseba akakuja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye. Kisha akarudi kwake. Mwanamuke yule alikuwa akitoka kujitakasa kisha ugonjwa wake wa mwezi.


Lakini Amunoni hakutaka kumusikiliza na kwa sababu alimushinda nguvu, akamukamata, akalala naye.


Nimejizuiza kabisa mimi mwenyewe, macho yangu yasimwangalie binti kwa tamaa.


Kama moyo wangu umevutwa kwa muke wa mutu, kama nimevizia kwenye mulango wa jirani yangu,


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayemwangalia mwanamuke kwa kumutamani, amekwisha kuzini naye ndani ya moyo wake.


Kama kisha hapendezwi naye, atamwacha aende anakotaka. Mwanaume huyo hatamwuzisha kwa kupata feza, wala hatamutendea kama vile mutumwa kwa sababu amemunyenyekeza.


mutawatoa wote wawili inje ya muji na kuwapiga mawe mpaka wakufe. Binti huyo anapaswa kuuawa kwa sababu hakupiga kelele kusudi asaidiwe ingawa alikuwa ndani ya muji; naye mwanaume anapaswa kuuawa kwa sababu amemuchafua muchumba wa mwenzake. Ndivyo mutakavyokomesha uovu huo kati yenu.


mwanaume huyo atamulipa baba wa binti huyo vikoroti makumi tano vya feza kwa sababu amemuchafua, na binti huyo atakuwa muke wake na hatamwacha maisha yake yote.


Lakini Waisraeli wakawajibu hao Wahivi: “Tunaweza namna gani kufanya agano nanyi? Labda ninyi munaishi karibu nasi.”


Siku moja, Samusoni aliteremuka na kwenda Timuna ambako alimwona binti mumoja Mufilistini.


Gali mwana wa Ebedi, akasema: “Abimeleki ni nani? Sisi hapa Sekemu ni watu wa aina gani hata tumutumikie Abimeleki? Gideoni na Zebuli jemadari wake walimutumikia Hamori baba wa Sekemu, lakini kwa nini basi, sisi tumutumikie Abimeleki?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ