Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 34:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Siku moja Dina, binti ya Yakobo na Lea, akakwenda kuwatembelea wanawake wa inchi hiyo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 34:1
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Esau alipokuwa na umri wa miaka makumi ine, akaoa wake wawili Wahiti: Yuditi binti ya Beri na Basemati binti ya Eloni.


Rebeka akamwambia Isaka: “Sina raha kabisa katika maisha kwa sababu ya hawa wanawake Wahiti wa Esau. Ikiwa Yakobo ataoa mumoja wa wanawake hawa Wahiti, maisha yangu yana faida gani?”


Esau akatambua kwamba Isaka alibariki Yakobo na kumutuma aende kuoa kule Padani-Aramu, na kwamba alipomubariki, alimukataza asioe mwanamuke Mukanana.


Lea akasema: “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Aseri.


Kisha akazaa mutoto mwanamuke, akamwita Dina.


Basi, akajenga mazabahu pahali pale na kuiita “Mungu ni Mungu wa Israeli”.


Hao ndio wana ambao Lea alimuzalia Yakobo kule Padani-Aramu, pamoja na Dina binti yake. Jumla ya wana wake, wabinti zake na wajukuu wake walikuwa watu makumi tatu na watatu.


Kwa nini unaniachilia hivi, ukibadilishabadilisha mwenendo wako? Utafezeheshwa na Misri kama ulivyofezeheshwa na Asuria.


Na zaidi ya hiyo, wanashikwa na uvivu na kuwa na tabia ya kutangatanga nyumba kwa nyumba. Na si ile tu, vilevile wao ni wakatetea na wenye kujiingiza katika maneno ya watu wengine na kusema maneno yasiyofaa.


na kuwa wenye utaratibu, wenye maisha safi, wenye kutunza nyumba zao vizuri, wema na wenye kutii waume wao, kusudi Neno la Mungu lisitukaniwe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ