7 Vilevile Lea akakuja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Kwa mwisho Rakeli na Yosefu wakakuja, wakainama kwa heshima.
Kisha wale wajakazi wakakaribia pamoja na watoto wao, wakainama kwa heshima.
Halafu Esau akauliza: “Kundi lile nililokutana nalo katika njia lina maana gani?” Yakobo akamujibu: “Nilitumaini kupata kukubaliwa mbele yako, ee bwana wangu.”