6 Kisha wale wajakazi wakakaribia pamoja na watoto wao, wakainama kwa heshima.
Esau alipoinua macho na kuwaona wale wamama na watoto, akauliza: “Ni wa nani hawa unaokuwa nao?” Yakobo akamujibu: “Hawa ni watoto ambao Mungu, kwa neema yake, amenijalia mimi mutumishi wako.”
Vilevile Lea akakuja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Kwa mwisho Rakeli na Yosefu wakakuja, wakainama kwa heshima.