Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 33:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Esau alipoinua macho na kuwaona wale wamama na watoto, akauliza: “Ni wa nani hawa unaokuwa nao?” Yakobo akamujibu: “Hawa ni watoto ambao Mungu, kwa neema yake, amenijalia mimi mutumishi wako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 33:5
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yakobo akamukasirikia Rakeli na kumwambia: “Mimi nimekuwa pahali pa Mungu aliyekuzuia kupata watoto?”


Kisha wale wajakazi wakakaribia pamoja na watoto wao, wakainama kwa heshima.


Yosefu akamujibu baba yake: “Hawa ni wana wangu Mungu alionijalia nikiwa huku.” Israeli akasema: “Tafazali, uwalete karibu nipate kuwabariki.”


Yawe amenijalia wana wengi, na kati ya hao wote, amemuchagua Solomono mwana wangu, aikae juu ya kiti cha kifalme cha ufalme wa Yawe atawale.


Watoto ni urizi kutoka kwa Yawe; uzao ni zawadi yake kwetu sisi.


Mimi pamoja na watoto Yawe alionipa ni kitambulisho na mufano katika Israeli kwa jina la Yawe wa majeshi anayekaa kwenye mulima Sayuni.


Tena anasema: “Nitamutumainia Mungu.” Na tena anasema: “Mimi ni hapa pamoja na watoto Mungu alionipatia.”


Kwa hiyo, Boazi akamutwaa Ruta kuwa muke wake. Yawe akamujalia Ruta naye akapata mimba, akazaa mutoto mwanaume.


Nilimwomba anipe mutoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ