Basi, Yakobo akainua macho, akamwona Esau akikuja pamoja na watu mia ine. Halafu, akawagawanya watoto wake kati ya Lea, Rakeli na wale wajakazi wawili.
lakini inchi yenu ya kuzaliwa itapatishwa haya; hiyo inchi mama yenu, itafezeheshwa. Babeli itakuwa ya mwisho kati ya mataifa, itakuwa mbuga yenye kukauka na jangwa.
Kisha Yawe wa majeshi akasema hivi: Hao watakuwa watu wangu. Watakuwa urizi wangu wa kipekee siku ile nitakaposimama kufanya jambo ninalokusudia. Sitawazuru kama vile baba asivyomuzuru mwana wake anayemutumikia.