25 Yakobo akabaki peke yake. Kisha mutu mumoja akakuja, akapigana naye mpaka asubui.
Harakisha! Kimbilia kule, nami sitafanya lolote mpaka utakapofika kule.” Hivyo muji ule ukaitwa Soari.
Kisha kuwavukisha ngambo ya kijito wale waliokuwa nao na mali yake yote,
Mutu yule alipoona kwamba hawezi kumushinda Yakobo, alimugusa Yakobo kwenye maunganio ya kiuno, naye akateguka alipokuwa anapigana naye.
Jua lilikuwa limekwisha kupanda wakati Yakobo alipoondoka Penueli, akakuwa anachechemea kwa sababu ya kiuno chake.
Enyi watu wa Yakobo zaifu kama mududu, enyi Waisraeli, musiogope! Nitawasaidia. –Ni ujumbe wa Yawe.– Mukombozi wenu ni yule Mutakatifu wa Israeli.
Yawe, Mutakatifu wa Israeli, Mungu, Muumba wa Israeli anasema hivi: Munataka kuniuliza juu ya watoto wangu, au kuniamuru juu ya kazi zangu mwenyewe?
Mukeshe na muombe, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”
Yesu akawaacha tena, na kwenda kuomba kwa mara ya tatu, akirudilia maombi yale yale.