23 Usiku uleule Yakobo akaamuka, akatwaa wake zake wawili, wajakazi wake wawili na watoto wake kumi na mumoja, akapita kivuko cha Yaboki.
Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala katika kambi usiku ule.
Kisha kuwavukisha ngambo ya kijito wale waliokuwa nao na mali yake yote,