Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 32:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala katika kambi usiku ule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 32:22
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yakobo akamwambia Labani: “Muda wangu umetimia, kwa hiyo unipe muke wangu.”


Zaidi ya yote, mutamwambia: ‘Mutumishi wako Yakobo yuko nyuma, anafuata.’ ” Yakobo alifanya hivyo akifikiri: “Pengine nitamutuliza kwa zawadi hizi ninazomutangulizia na kisha nitaweza kuonana naye macho kwa macho; labda atanipokea.”


Usiku uleule Yakobo akaamuka, akatwaa wake zake wawili, wajakazi wake wawili na watoto wake kumi na mumoja, akapita kivuko cha Yaboki.


Rakeli akiwa karibu kufa, akamupa yule mutoto jina Beni-oni. Lakini baba yake akamwita mutoto yule Benjamina.


Lakini hatukukaribia inchi ya Waamoni au ukingo wa muto Yaboki wala katika miji ya inchi ya milima wala sehemu yoyote ambayo Yawe, Mungu wetu, alitukataza.


na watu wa makabila ya Rubeni na Gadi nikawapa inchi yote kutoka Gileadi mpaka muto Arnoni. Mupaka wao wa kusini ulikuwa muto ule na wa kaskazini ulikuwa muto Yaboki ambao ndio unaopakana na inchi ya Waamori.


Kama mutu asipotunza wandugu zake na hasa zaidi watu wa jamaa yake mwenyewe, huyu amekana imani yake naye ni mubaya kuliko mupagani.


Mufalme Sihoni wa Waamori aliyeishi kule Hesiboni na kutawala kutokea kwenye makao yake makubwa kule Aroeri, muji uliokuwa kandokando ya bonde la Arnoni. Alitawala vilevile kuanzia katikati ya bonde mpaka kwenye muto Yaboki ambao ulikuwa mupaka wa inchi ya Waamoni, ni kusema nusu ya inchi ya Gileadi.


Mufalme wa Amoni akawajibu hao wajumbe: “Waisraeli walipotoka Misri, walitwaa inchi yangu kutoka muto Arnoni mpaka kwenye muto Yaboki na muto Yordani. Sasa munirudishie inchi hiyo kwa amani.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ