Mwanzo 32:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala katika kambi usiku ule. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Mufalme Sihoni wa Waamori aliyeishi kule Hesiboni na kutawala kutokea kwenye makao yake makubwa kule Aroeri, muji uliokuwa kandokando ya bonde la Arnoni. Alitawala vilevile kuanzia katikati ya bonde mpaka kwenye muto Yaboki ambao ulikuwa mupaka wa inchi ya Waamoni, ni kusema nusu ya inchi ya Gileadi.