18 Akamwagiza yule aliyetangulia: “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza: ‘Wewe ni mutumishi wa nani? Unakwenda wapi? Na nyama hawa ni wa nani?’
Akawapatia watumishi wake, kila mumoja kundi lake, akawaambia: “Mutangulie mukiacha nafasi kati ya kundi na kundi katika mustari wenu.”
Wewe utamujibu: ‘Hii ni mali ya mutumishi wako Yakobo, nayo ni zawadi yako wewe bwana wangu Esau. Tena Yakobo mwenyewe yuko nyuma anafuata.’ ”