15 mbuzi dike mia mbili na mabeberu makumi mbili, kondoo dike mia mbili, na dume makumi mbili,
Basi, Yakobo akalala pale usiku ule. Kisha akatenga sehemu ya mali yake, ikuwe zawadi kwa ndugu yake Esau:
ngamia makumi tatu wanaonyonyesha pamoja na watoto wao, ngombe dike makumi ine, ngombe dume kumi, punda dike makumi mbili, na dume kumi.