1 Asubui mapema Labani akaamuka, akawabusu wajukuu na wabinti zake, akawabariki. Kisha akaondoka, akarudi kwake.
Yawe alipomaliza kuzungumuza na Abrahamu, akajiendea naye Abrahamu akarudi kwake.
Basi, wakamubariki Rebeka wakisema: “Ewe dada yetu! Ukuwe mama wa maelfu kwa maelfu; wazao wako warizi miji ya waadui zao.”
Mbona haukunipa wakati wa kubusu wabinti na wajukuu wangu? Kweli umetenda kipumbafu!
Masikini alimulilia Yawe, naye akamusikia, na kumwokoa katika taabu zake zote.
Maana Mungu atawaamuru wamalaika wake, wakulinde popote unapoenda.
ikiwa Paulo, Apolo au Petro, dunia, uzima, kifo, mambo ya sasa au mambo yatakayokuja.
Lakini sasa, kwa njia ya kanisa, watawala na wote wenye uwezo wanaokuwa katika eneo la mbingu wapate kutambua hekima ya Mungu inayokuwa ya namna nyingi.
Mwana amepata kuwa mukubwa kupita wamalaika kufuatana na lile jina alilopewa na Mungu, linalokuwa tukufu kuliko jina lao.