Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 31:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Kwa miaka makumi mbili hii yote nimeishi katika nyumba yako. Nilikutumikia miaka kumi na mine kwa ajili ya wabinti zako wawili, na miaka sita nikachunga nyama wako. Lakini wewe, ukabadilisha mushahara wangu mara kumi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 31:41
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ukae naye kwa muda, mpaka kasirani ya ndugu yako itakapopoa.


Siku moja Labani akamwambia Yakobo: “Wewe ni jamaa yangu lakini hiyo haisemi kwamba utanitumikia bure. Uniambie unataka mushahara gani!”


Nimekaa nawe kwa muda wa miaka makumi mbili. Muda ule wote kondoo wako, wala mbuzi wako hawajapata kuharibu mimba, wala sikukula kondoo dume wa kundi lako.


Hivyo, muchana nilivumilia jua kali na usiku baridi ilinipiga. Sikuweza kupata usingizi hata kidogo.


Munajua kwamba nimemutumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote.


Hata hivyo yeye amenidanganya na kubadilisha mushahara wangu mara kumi. Lakini Mungu hakumuruhusu kunizuru.


Yakobo alituma wajumbe wamutangulie kwenda kwa ndugu yake Esau, kule Seiri, katika inchi ya Edomu.


Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa sawa hivi ninavyokuwa, na neema yake niliyopewa haikukuwa ya bure, lakini nilitumika zaidi sana kuliko mitume wote wengine. Hakika si mimi, lakini ni neema ya Mungu inayokuwa pamoja nami.


Katika safari zangu nyingi nimepata hatari ya mafuriko ya mito, hatari ya wanyanganyi, hatari kutoka kwa wanainchi wenzangu na kutoka kwa watu wa mataifa mengine. Nilikuwa katika hatari ndani ya miji, katika jangwa, katika bahari na kati ya wandugu za uongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ