Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 30:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 30:9
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Sarai akamupa Abramu Hagari, mujakazi wake Mumisri, akuwe muke wake. Haya yalitokea nyuma ya Abramu kukaa katika inchi ya Kanana kwa muda wa miaka kumi.


(Labani akamutoa Zilpa, mujakazi wake, akuwe mutumishi wa Lea.)


Lea akapata mimba tena, akazaa mutoto mwanaume, akamwita Yuda, akisema: “Mara hii nitamusifu Yawe.” Kisha Lea akaacha kuzaa.


Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto wa tano mwanaume.


Kwa hiyo Rakeli akamupa Yakobo mujakazi wake, Biliha akuwe muke wake, naye akalala naye.


Halafu Rakeli akasema: “Nimepigana mapigano makubwa na dada yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Nafutali.


Hawa kumi na sita ni wazao wa Yakobo na Zilpa, mujakazi ambaye Labani alimupa binti yake Lea.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ