Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 30:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Uniruhusu nipite kati ya nyama wako wote leo, nitenge katika kundi kila nyama mwenye madoadoa na matakamataka, kila nyama mweusi, kati ya kondoo na mbuzi wanaokuwa na madoadoa na matakamataka. Huo ndio utakaokuwa mushahara wangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 30:32
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Labani akamwuliza: “Nikupatie nini?” Yakobo akamujibu: “Hautanipatia kitu chochote. Nitaendelea kuwatunza nyama wako ikiwa utanifanyia jambo hili:


Hivyo, siku zinazokuja, uaminifu wangu utaonekana waziwazi utakapokuja kuangalia mushahara wangu. Mbuzi yeyote asiyekuwa na madoadoa au matakamataka, au kondoo yeyote asiyekuwa mweusi akionekana katika kundi langu, yule atakuwa ameibiwa.”


Lakini siku hiyohiyo Labani akakwenda akatenga beberu wote wenye mistari na madoadoa, mbuzi wote dike waliokuwa na madoadoa na matakamataka, kila nyama aliyekuwa na weupe kwenye mwili wake, na kila kondoo mweusi, akawaweka chini ya ulinzi wa wana wake.


“Wakati wa nyama kupata mimba niliota ndoto, na katika ndoto hiyo niliona mabeberu wote waliopanda madike walikuwa wenye mistari, madoadoa na matakamataka.


Kila mara baba yenu aliposema: ‘Nyama wenye madoadoa ndio watakaokuwa mushahara wako’, basi kundi lote lilizaa nyama wenye madoadoa. Na kila mara aliposema: ‘Nyama wenye mistari ndio watakaokuwa mushahara wako’, basi, kundi lote lilizaa nyama wenye mistari.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ