26 Unipe wake zangu na watoto wangu ambao nimejipatia kutokana na utumishi wangu kwako, niondoke nao. Unajua kwamba nimekutumikia vema.”
Yakobo akamupenda Rakeli; kwa hiyo akamwambia Labani: “Nitakutumikia miaka saba kwa ajili ya Rakeli, binti yako mudogo.”
Basi, Yakobo akalala na Rakeli vilevile. Lakini Yakobo akamupenda Rakeli kuliko Lea. Akamutumikia Labani miaka mingine saba.
Halafu Labani akamwambia Yakobo: “Umefanya nini? Mbona umenidanganya, ukatwaa wabinti zangu kama vile wafungwa wa vita?
Yakobo akamujibu: “Niliogopa kwa sababu nilizani ungeninyanganya wabinti zako.
Munajua kwamba nimemutumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote.
Watu wa Gileadi walikuwa waovu sana; hakuna tena kitu kinachokuwa chao. Kule Gilgali walitambikia ngombe dume. Hivyo, mazabahu zao zitakuwa malundo ya mawe yaliyowekwa kwa mafungu katika shamba.