Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 30:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kwa hiyo akamwita mutoto yule Yosefu akisema: “Yawe aniongezee mutoto mwingine mwanaume.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 30:24
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa Rakeli walikuwa Yosefu na Benjamina.


Hizi ndizo habari za ukoo wa Yakobo. Yosefu, akiwa kijana wa umri wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo na mbuzi pamoja na wandugu zake, wana wa Biliha na Zilpa, wake za baba yake. Yosefu akakuwa anamujulisha baba yake juu ya tabia mbaya za wandugu zake.


Wakati ule Yosefu alikuwa mukubwa kule Misri. Yeye ndiye aliyekuwa akiwauzishia wanainchi ngano. Basi, kaka zake wakakuja na kuinama mbele ya Yosefu kwa heshima.


Wewe mwanadamu, twaa kijiti kimoja, uandike juu yake maneno haya: Kwa Yuda na Waisraeli wanaoshirikiana naye. Kisha twaa kijiti kingine uandike juu yake maneno haya: Kwa Yosefu (kijiti cha Efuraimu) na Waisraeli wanaoshirikiana naye.


Lakini wandugu zake walipoona kwamba baba yao alimupenda Yosefu kuliko wao, wakamuchukia hata hawakuzungumuza naye kwa amani.


Nyuma Rakeli kuzaa Yosefu, Yakobo akamwambia Labani: “Uniruhusu nirudie kwetu, katika inchi yangu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ