21 Kisha akazaa mutoto mwanamuke, akamwita Dina.
Akasema: “Mungu amenipa zawadi bora. Sasa mume wangu ataniheshimu kwa maana nimemuzalia watoto sita wanaume.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Zabuluni.
Kisha Mungu akamukumbuka Rakeli, akakubali ombi lake na kumujalia kupata watoto.
Wakawaua kwa upanga Hamori na mwana wake Sekemu, wakamutoa Dina katika nyumba ya Sekemu, wakajiendea.
Hao ndio wana ambao Lea alimuzalia Yakobo kule Padani-Aramu, pamoja na Dina binti yake. Jumla ya wana wake, wabinti zake na wajukuu wake walikuwa watu makumi tatu na watatu.