19 Lea akapata mimba tena na kumuzalia Yakobo mutoto wa sita mwanaume.
Sasa, Labani alikuwa na wabinti wawili: mukubwa anayeitwa Lea na mudogo anayeitwa Rakeli.
Lea akasema: “Mungu amenipa mushahara wangu kwa sababu nilimupa mume wangu mujakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Isakari.
Akasema: “Mungu amenipa zawadi bora. Sasa mume wangu ataniheshimu kwa maana nimemuzalia watoto sita wanaume.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Zabuluni.
Zebuluni na wana wake: Seredi, Eloni na Yaleli.
Eneo linalopakana na kabila la Isakari kutoka upande wa mashariki kuelekea upande wa magaribi, litakuwa eneo la kabila la Zebuluni.
Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleli.